Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Balozi mdogo wa Oman Sheikh Saleh Al-Hafidh aliyefika Ofisini kwake Migombani kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa utumishi nchini.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na Balozi mdogo wa Oman Sheikh Saleh Al-Hafidh, Ofisini kwake Migombani.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na Balozi mdogo wa Oman Sheikh Saleh Al-Hafidh, Ofisini kwake Migombani.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa na Balozi mdogo wa Oman Sheikh Saleh Al-Hafidh, Ofisini kwake Migombani, baada ya kumaliza mazungumzo yao. (Picha na Salmin Said, OMKR)
No comments:
Post a Comment