NGUMI NUSU FAINAL KLABU BINGWA TAIFA NI PATA SHIKA, NGUO KUCHANIKA
-
▫️Nusu fainali ya kwanza kufanyika usiku wa leo kwa mapambano 14
▫️Magereza warudi kwa kishindo msimu huu
18-09-2025, Tanga.
MASHINDANO ya ngumi Klabu Bin...
1 hour ago
haya mambo mengine ya kuiga bila ya kutafakari yatatupeleka siko , kupiga marufuku kuuzwa visu na sime nk kama si ujinga ni nini? kama watu wanatumia hivyo vitu kwa uhalifu watavipata tu kwa nji moja au nyengine, mbona mabunduki na mabastola hayauzwi barabarani na wanayapata vipi? ikiwa mtu amekula dawa za chloroqwini ili kujiua nafsi yake , kwa hio tupige marufuku famasi wasiuze dawa?
ReplyDelete