Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
6 hours ago
haya mambo mengine ya kuiga bila ya kutafakari yatatupeleka siko , kupiga marufuku kuuzwa visu na sime nk kama si ujinga ni nini? kama watu wanatumia hivyo vitu kwa uhalifu watavipata tu kwa nji moja au nyengine, mbona mabunduki na mabastola hayauzwi barabarani na wanayapata vipi? ikiwa mtu amekula dawa za chloroqwini ili kujiua nafsi yake , kwa hio tupige marufuku famasi wasiuze dawa?
ReplyDelete