Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefanya Uteuzi wa Wajumbe 8 Kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
walioteuliw...
1 hour ago

haya mambo mengine ya kuiga bila ya kutafakari yatatupeleka siko , kupiga marufuku kuuzwa visu na sime nk kama si ujinga ni nini? kama watu wanatumia hivyo vitu kwa uhalifu watavipata tu kwa nji moja au nyengine, mbona mabunduki na mabastola hayauzwi barabarani na wanayapata vipi? ikiwa mtu amekula dawa za chloroqwini ili kujiua nafsi yake , kwa hio tupige marufuku famasi wasiuze dawa?
ReplyDelete