Habari za Punde

Matunda ya Miaka 50 ya Mapinduzi katika miundombinu ya barabara Nungwi.




1 comment:

  1. Hatuna haya almaruhum mzee Abe Aman karume alionesha mfano mzuri khusu ujenzi wa barabara na nyumba tuanze na michenzani, kunajumba limeanzia kisiwa nduwi hadi raund abauti, kuna upana wakutosha hata ikihitajika kupanuliwa barabara na jumba la rahaleo likombali na, la misara, likoko mbali sasa chakujivinia, matunda ya mapinduzi ni yale, sio kujenga barabara zisizo viwango mkatwambia nimatunda ya mapinduzi huko ni kutunanga hebu tujitafakari wapitulipo kosea kuzifata nyao za mzee wetu huko kaburini,aliko anjua kuwa tuna yaenzi mapinduzi kwa mema na mazuri aliyo yafananya sikubabaisha kwa vibarabara vibovu visvyo na viwango

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.