Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania
Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mzee Ali Machano (122) mmoja
kati ya Waasisi
wa ASP wakati alipomtembelea kumjulia hali kijijini kwake Moga Mkoa wa
Kaskazini Unguja leo Disemba 24-2013. (Picha na OMR)
WAZIRI NDALICHAKO: WALIMU TARAJALI KUANZA KUFUNDISHWA LUGHA YA ALAMA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu
Mhe. Prof.Joyce Ndalichako akizungumza katika kilele cha wiki ya Viziwi
kitaifa k...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment