Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania
Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mzee Ali Machano (122) mmoja
kati ya Waasisi
wa ASP wakati alipomtembelea kumjulia hali kijijini kwake Moga Mkoa wa
Kaskazini Unguja leo Disemba 24-2013. (Picha na OMR)
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment