Mkurugenzi wa Kampuni ya Sinohydro Tianjin Engineering Company ya China Bwa. Wang Jing Li, akitowa maelezo ya kampuni yao wakati wa hafla ya kukabidhi cheki kwa Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, kwa ajili ya Vikundi vya Jamii Zanzibar.
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akikabidhiwa Cheki ya shilingi milioni tano na Mkurugenzi wa Kampuni ya Sinohydro Tianjin Engineering Company ya China, makabidhiano hayo yamefanyika katika ukumbi wa hoteli ya Misali Sun Set Pemba.
MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzzi Mama Mwanamwema Shein akisoma risala fupi kuishukuru kampuni ya Sinohydro Tianjin Engineering Company ya China baada ya kupokea cheki ya Milioni tano
No comments:
Post a Comment