Mdau wa watembeza watalii katika shamba la Big Bony Kizimbani akiwa katika harakati za za kusuka kofia za makuti kwa ajili ya wateja wake wanaotembelea hapo kujionea viungo vya marashi ya karafuu ya Zanzibar.
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment