Mdau wa watembeza watalii katika shamba la Big Bony Kizimbani akiwa katika harakati za za kusuka kofia za makuti kwa ajili ya wateja wake wanaotembelea hapo kujionea viungo vya marashi ya karafuu ya Zanzibar.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment