Mdau wa watembeza watalii katika shamba la Big Bony Kizimbani akiwa katika harakati za za kusuka kofia za makuti kwa ajili ya wateja wake wanaotembelea hapo kujionea viungo vya marashi ya karafuu ya Zanzibar.
Mariam Ibrahim Aungana na Wanawake wa Pwani Kufagia Uwanja wa Uzinduzi wa
Kampeni Bagamoyo
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
16 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani kufagia viwanja vya
Sh...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment