Habari za Punde

Mgombea Uchaguzi Jimbo la Kiembesamaki kwa Tiketi ya CUF

 Mgombea Uwakilishi Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki kwa Chama cha Wananchi CUF Bwa. Abdulmalik Haji Jecha 
Msimamizi wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar Suluhu Ali Rashid, akimkabidhi Fomu za kugombea Uwakilishi katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar Bwa Abdulmalik Haji Jeche. fomu yake ya kugombea Uwakilishi wa Jimbo hilo alipofika Ofisi za Tume Maisara Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.