Habari za Punde

Magazetini Leo Tz Bongo


1 comment:

  1. kama serikali 3 haiwezekani, basi na 2 ndio kabisa zimefeli maana miaka 50 hakuna kimoja kilopatikana znz, kumbe akina Faridi wanaakili sana, na wanaona mbali, basi tupeni nchi yetu tena mana mshashindwa. Sisi znz tunadidimia na nyinyi tanganyika munaendelea ndio maana hamsikii chochote, znz tunakubebeni nyinyi ndio maana munatung'ang'ania, tushashtuka lakini mara hii mwiba hautoki huo

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.