NMB Yapewa Tuzo Maalum na WCF kwa Uzingatiaji Bora wa Uwasilishaji wa
Michango ya Wafanyakazi
-
Dar es Salaam
Benki ya NMB imeendelea kuthibitisha uongozi wake katika masuala ya
rasilimali watu baada ya kutunukiwa tuzo maalum na Mfuko wa Fidia kw...
5 hours ago
kama serikali 3 haiwezekani, basi na 2 ndio kabisa zimefeli maana miaka 50 hakuna kimoja kilopatikana znz, kumbe akina Faridi wanaakili sana, na wanaona mbali, basi tupeni nchi yetu tena mana mshashindwa. Sisi znz tunadidimia na nyinyi tanganyika munaendelea ndio maana hamsikii chochote, znz tunakubebeni nyinyi ndio maana munatung'ang'ania, tushashtuka lakini mara hii mwiba hautoki huo
ReplyDelete