RAIS SAMIA ATOA BILIONI 16.696 KWA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA ELIMU MKOANI
TANGA KUPITIA MRADI WA SEQUIP.
-
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu
Hassan, kupitia bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025, imetoa jumla ya
shilingi bilioni ...
1 hour ago
kama serikali 3 haiwezekani, basi na 2 ndio kabisa zimefeli maana miaka 50 hakuna kimoja kilopatikana znz, kumbe akina Faridi wanaakili sana, na wanaona mbali, basi tupeni nchi yetu tena mana mshashindwa. Sisi znz tunadidimia na nyinyi tanganyika munaendelea ndio maana hamsikii chochote, znz tunakubebeni nyinyi ndio maana munatung'ang'ania, tushashtuka lakini mara hii mwiba hautoki huo
ReplyDelete