Waziri wa Habari na Michezo Dkt. Fennela Mukangara, akizungumza na Rais wa Shirika lisilo la Kiserekali la Internation Youth Felloship,Mchungaji Ock Hee Park, alipofika kumuona na Ujumbe wake Jijini Dar-es-Salaam leo.
Rais wa Shirika lisilo la Kiserekali la Internation Youth Felloship,Mchungaji Ock Hee Park, akizungumza na Waziri Fennela alipofia Ofisini kwake kwa mazungumzo
ANNA KILANGO ACHUKUA FOMU YA UBUNGE AKITANGAZA KUVUNJWA MAKUNDI NDANI YA
CCM.
-
NA WILLIUM PAUL, SAME.
MBUNGE mteule wa Chama cha Mapinduzi katika Jimbo la Same mashariki
wilayani Same mkoani Kilimanjaro, Anna Kilango Malecel amechuk...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment