MWANAFUNZI ambae hakupatikana jina
lake, akisoma bango la mtawala Haroun lilikoko Chwaka Tumbe wilaya ya Micheweni,
mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wanafunzi skuli za sekondari za mkoa wa kusini
Pemba, walipokuwa na ziara maalum ilioandaliwa na Kamisheni ya Utalii Pemba,
ili kuamsha ari ya utalii kwa wote (picha na Haji Nassor, Pemba)
SMZ YATENGA BILIONI 34 POSHO YA NAULI KWA WAFANYAKAZI
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amesema kuwa wafanyakazi wa SMZ wataongezewa posho ya shilingi
50,000 ya n...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment