AFISA kutoka Mamlaka ya kuzuia rushwa na
uhujumu wa uchumi Zanzibar ‘ZAECA’ Makame Hassan, akizungumza na wananchi wa
mji wa Chakechake, kwenye mkutano wa wazi eneo la Tennis, ambapo ‘ZAECA’ ilifika
kisiwani Pemba, ili kutoa elimu kwa wananchi, kulia ni Afisa mwenzake nd:
Mwanaidi Suleiman Ali, akifuatiwa na sheha wa shehia ya Madungu, bibi Mafunda
Hamad Rubea, akifuatiwa na sheha wa shehia ya Chachani Juma Khamis Mirsho (picha
na Haji Nassor, Pemba)
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Atoa
Wito kwa Watunza Kumbukumbu Nchini *Awataka wazingatie maadili, wadumishe
uadilifu na kulinda usiri wa taarifa
-
Na.Hassan Silayo
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa ametoa
wito kwa watunza kumbukumbu wote nchini kuzingatia maadili ya k...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment