WAAJIRI WAHIMIZWA KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA WATUMISHI KURAHISISHA UTOAJI WA
MAFAO
-
Afisa Mwandamizi kutoka Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Wizara ya
Fedha, Bi. Mary Mihigo, akitoa elimu ya fedha kuhusu akiba kwa Mzee Abuu
Masro,...
21 minutes ago
Ni mji usiokuwa na haiba.Uko ovyooo na unafuta ule msemo wa old is gold. Tuko katika karne ya 21 na sio tena ya 18. Unesco wanaipotosha Zanzibar kwa kusema na kuchangia mji huu uenziwe,wakati wao huko kwao majumba yakichakaa kidogo huvunjwa na kujengwa za kisasa na kila kitu ni proof yaani earthquake proof,fire proof n.k Lakini Zanzibar wanachangia kuyaweka majumba ya karne ya 18 yaliyojengwa kwa mawe na chokaa,na ikitokea mtikisiko kidogoo tu ni maafa.Lazima zanzibar iamke kuliangalia suali hili kabla ya maafa mazito kutokea.Zanzibar isikubali "hewalla bwana."
ReplyDelete