Habari za Punde

Afisa Mdhamini Ofisi ya Rais, tawala za mikoa na idara maalum atembelea miradi ya JKU Pemba

 
AFISA Mdhamini Wizara ya Nchi Afisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Idara Maalum Pemba, Mhe:Saleh Mbarouk Amour, akipata maelekezo ya Ramani ya jengo la kulala wageni, kutoka kwa Kamanda wa KJU Pemba, Ali Mtumweni Hamad, wakati alipotembela jengo hilo Gombani Pemba. (Picha na Said Abrahman, KJU Pemba.)

 
AFISA Mdhamini Wizara ya Nchi Afisi ya Rasi Tawala za Mikoa na Idara Maalum Pemba, Mhe:Saleh Mbarouk Amour,akiangalia eneo linalotaka kujengwa madarasa ya kusomeshea Ufundi katika kambi ya JKU Chokocho Wilaya ya Mkoani Pemba. (Picha na Said Abrahman, KJU Pemba)

KIJANA wa Mujibu wa sharia katika kambi ya JKU Msaani, ambae hakufahamika jina lake mara moja, akiwa kenye kidungu akiinga ndege Mpunga katika bonde la JKU Msaani. (Picha na Said Abrahman, KJU Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.