Habari za Punde

Dk Shein azindua skuli ya Maandalizi Cheju

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein na Balozi wa Korea Nchini Tanzania  Bw.IL Chung (katikati) wakikjata utepe kuashiria uzinduzi wa Skuli ya Maandalizi Chekechea  Kijiji cha Cheju Mkoa wa Kusini Unguja,iliyojengwa kupitia Mradi wa SAEMAUL UDONG kutoka Shirika la misaada la koika nchini Korea,(kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamuhuna,(kutoka kushoto) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Haji Omar Kheir na Mkuu wa Mkoa Kusini Unguja Dk.Idriss Muslim Hija.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein akipeana mkono na Balozi wa Korea Nchini Tanzania  Bw.IL Chung baada ya kuzindua rasmi  Skuli ya Maandalizi Chekechea  Kijiji cha Cheju Mkoa wa Kusini Unguja,iliyojengwa kupitia Mradi wa SAEMAUL UDONG kutoka Shirika la misaada la koika nchini Korea,[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein  akipata maelezo kutoka kwa msimamizi wa  Skuli ya Maandalizi ya katika Kijiji cha Cheju Kyung-AE Lim (Mama Imu) kupitia mradi wa SAEMAUL UDONG  kutoka Korea, wakati alipotembelea madarasa katika Skuli hiyo baada ya kuizindua leo,ujenzi wa skuli hiyo umejengwa kwa msaada wa Shikrika la misaada la Koika katika Jamhuri ya watu wa Korea. [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein  akipanda mche wa Mti aina ya Muembe baada ya kuzindua rasmi  Skuli ya Maandalizi ya katika Kijiji cha Cheju Mkoa wa Kusini Unguja kupitia mradi wa SAEMAUL UDONG,iliyojengwa kwa msaada wa Shikrika la misaada la Koika katika Jamhuri ya watu wa Korea,(kushoto) Naibu katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Maliasili Nd,Juma Ali Juma[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein  akipokea zawadi kutoka Kyung-AE Lim (Mama Imu)  msimamizi wa  Skuli ya Maandalizi ya katika Kijiji cha Cheju Mkoa wa Kusini Unguja kupitia mradi wa SAEMAUL UDONG  kutoka Korea katika hafla ya uzinduzi wa Skuli hiyo leo.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein alipokuwa akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa Skuli ya Maandalizi ya Kijiji cha Cheju Mkoa wa Kusini Unguja leo  kupitia Mradi wa SAEMAUL UDONG  kutoka Jamhuri ya watu wa Korea.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein alipokuwa akisalimiana na Watoto baada ya kuzungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa Skuli ya Maandalizi ya Kijiji cha Cheju Mkoa wa Kusini Unguja leo  kupitia Mradi wa SAEMAUL UDONG  kutoka Jamhuri ya watu wa Korea.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.