Habari za Punde

Mandhari ya mji wa Beijing


 MJI wa Beijing ukioneka pichani ukiwa umepamba na msafara wa magari wakati wa jioni leo kama unavyooonekani pichani.
 
WAANDISHI wa Habari na Maofisa Habari kutoka Nchi 11 za Afrika   wakiwa nje ya jengo la Makumbusho la Red Sandalwood Museum Beijing, wakati wa mapumziko ya Semina yao ya Wiki mbili nchini China.  

 
 MTEMBEZA wageni wanaotembelea Makumbusho ya Red Sadalwood Beijing Bi Rose Sun, akitowa maelezo ya  sana za kale zilioko katika makumbusho hiyo ya Red Sadalwood, kwa Jopo la Waandishi kutoka Afrika walipotembelea jingo hilo kujionea  mapambo mbalimbali yaliokuwa yakitumika Nchini China
MTEMBEZA wageni wanaotembelea makumbusho hiyo akitowa maelezo ya meza iliotengenezwa kwa mti wa Sadalwood ikiwa katika makumbosho hiyo. Akiwaeleza waandhi wa habari walipofika kujuonea  sanaa za asili zilizokuwa zikitumika miaka ya zamani nchini China.




 

1 comment:

  1. Kaka Mapara naona unakula nchi!

    Ftari na daku 'kwa vijiti' ndani ya Beijing!

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.