MJI wa
WAANDISHI wa Habari na Maofisa Habari
kutoka Nchi 11 za Afrika wakiwa nje ya jengo la Makumbusho la Red Sandalwood
Museum Beijing, wakati wa mapumziko ya Semina yao
ya Wiki mbili nchini China .
MTEMBEZA wageni wanaotembelea makumbusho
hiyo akitowa maelezo ya meza iliotengenezwa kwa mti wa Sadalwood ikiwa katika
makumbosho hiyo. Akiwaeleza waandhi wa habari walipofika kujuonea sanaa za asili zilizokuwa zikitumika miaka ya
zamani nchini China .
Kaka Mapara naona unakula nchi!
ReplyDeleteFtari na daku 'kwa vijiti' ndani ya Beijing!