Habari za Punde

Rais Kikwete afutarisha wananchi wa mikoa Mitatu ya Unguja

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi  akiwaongoza waumini wa dini ya Kiislamu pamoja na wananchi wa mikoa Mitatu ya Unguja katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na kufanyika katika Ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Zanzibar.
 Viongozi na wananchi wa Mikoa Mitatu ya Unguja wakijichukulia mlo katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete hapo Bwawani Mjini Zanzibar.
 Viongozi na wananchi wa Mikoa Mitatu ya Unguja wakijichukulia mlo katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete hapo Bwawani Mjini Zanzibar.
 Viongozi na wananchi wa Mikoa Mitatu ya Unguja wakijichukulia mlo katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete hapo Bwawani Mjini Zanzibar.
 Waumini na Wananchi mbali mbali wa Mikoa Mitatu ya Unguja wakiendelea kufutari pamoja wakiongozwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwa Niaba ya Rais wa Muungano Dr. Kikwete.
Waumini na Wananchi mbali mbali wa Mikoa Mitatu ya Unguja wakimsikiliza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwa Niaba ya Rais wa Muungano Dr. Kikwete alipokuwa akiwashukuru

 
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na Waumini na Wananchi wa Mikoa Mitatu ya Unguja mara baada ya futari ya pamoja  akimuwakilisha Rais Kikwete aliyeandaa futari hiyo.
Balozi Seif akiagana na Waziri wa Katiba na Sheria Zanzibar Mh. Aboubarak Khamis Bakari mara baada ya futari ya pamoja iliyofanyika katika ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Mjini Zanzibar.Pembeni kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mh. Abdulla Mwinyi ambae ndie Mkuu wa Mkoa mwenyeji wa shughuli hiyo.

Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.