Habari za Punde

Uzinduzi wa Bodi ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF)

Afisa Mawasiliano wa Mfuko wa Jamii Zanzibar Ndg. Mussa Yussuf akitowa utaratibu wa hafla ya Uzinduzi wa Bodi ya Sita ya ZSSF, iliozinduliwa na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Oar Yussuf Mzee.  
  Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akizindua Bodi Mpya ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa ZSSF kilimani Zanzibar. 

Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akisisitiza jambo wakati wa Uzinduzi wa Bodi ya Sita ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ( ZSSF) uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa  ZSSF Kilimani Zanzibar. 

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Zanzibar Ndg. Khamis Mussa,akizingumza wakati wa uzinduzi wa Bodi hiyo iliozinduliwa na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee. 
Maofisa wa Mfuko wa Jamii Zanzibar ZSSF wakimsikiliza Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe Omar Yussuf Mzee, akizindua Bodi hiyo na kutowa nasaha zake kwa Wajumbe wa Bodi mpya ya ZSSF  

                               Maofisa wa ZSSF wakifuatilia hafla ya Uzinduzi wa Bodi ya Sita
Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Hifadha ya Jamii Zanzibar Dkt.Suleiman Rashid Mohammed, akizungumza baada ya kuzinduliwa kwa Bodi yao na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee, katika ukumbi wa ZSSF Zanzibar.
Mkugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar Ndg Abdulwakil Haji Hafish, akizungumza wakati wa uzinduzi huo na kutowa maelezo ya uendeshaji wa Mfoko wa Hifadhi ya Jamii kwa wajumbe wa Bodi ya Sita ya ZSSF. 
Wajumbe wa Bodi ya Sita ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja na Mhe Waziri wa Fedha Omar Yussuf Mzee na  Wafanyakazi wa ZSSF, wakiwa nje ya Jengo la ZSSF Kilimani Zanzibar baada ya uzinduzi wake.

Wajumbe wa Bodi ya Sita ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuzinduliwa kwake na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee.

Mwenyekiti wa Bodi ya Sita ya ZSSF Dkt. Suleiman Rashid Mohammed, akiaza kuongoza Kikao cha Bodi baada ya luzinduliwa leo na Waziri wa Fedha Zanzibar, kikiwa kikao cha kwanza.  


Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar wakipitia makabrasa yao kabla ya kuaza kwa Mkutano wa kwanza wa Bodi hiyo baada ya kuzinduliwa leo na Waziri wa Fedha Zanzibar Mhe. Omar Yussuf Mzee.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.