WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo
Zanzibar, Mhe:Said Ali Mbarouk, wakwanza kushoto akiwaongoza wafanyakazi wa
wizara yake na wananchi mbali mbali katika futari maalumu iliyoandaliwa na
Wiazra ya Habari Pemba, iliyofanyika katika kiwanja cha michezo Gombani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WANANCHI mbali mbali na wafanyakazi wa Wizara ya
Habari Pemba, wakipata futari maalumu iliyoandaliwa na Wizara ya Habari
Utamaduni na Utalii Pemba, iliyofanyika katika kiwanja cha michezo gombani
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
AFISA mdhamini wa Wizara ya Habari, Utamaduni,
Utalii na Michezo Pemba, Mhe:Ali Nassor Mohamed, katikati akitoa shukurani kwa
wananchi na wafanyakazi wa wizara hiyo waliohudhuria futari iliyoandaliwa na
wizara yake Pemba.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI wa Habri Utamaduni, Utalii na Michezo
Zanzibar, Mhe:Said Ali Mbarouk, akizungumza na wananchi na wafanyakazi wa
wizara yake waliohudhuria futari maalumu, Iliyoandaliwa na Wizara yake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment