Mdau mambo ya madoriani ndani ya mji wa Li Jiang China, Mjasiriamali akiwa katika mtaa wa mji huo akisubiri wateja wa matunda hayo doriani moja huuzwa kwa fedha ya china shs 20/= Mji Lijiang madoriani yakiwa kila mtaa wa mji huo yakiuzwa yakiwa katika kiwango kikubwa tafauti na ya kwetu kwa ukubwa wake
TEITI YAWEKA WAZI RIPOTI YA 15 YA MWAKA WA FEDHA 2022/2023
-
TANZANIA ikiwa ni nchi mwanachama wa EITI imeendelea kutekeleza Matakwa ya
Kimataifa ya EITI ambapo kila mwaka nchi mwanachama wa Asasi ya EITI
inatak...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment