Habari za Punde

Msimu wa Matunda ya Matikiti juu.......Zenj

Waajasiriamali wa biashara ya matunda aina ya matikiti wakiwa katika eneo la michezani wakisubiri wateja wa matunda hayo, tikiti moja linauzwa kati ya shilingi 1200/= na 3000/=, katika kipindi hichi matunda ya aina hii yamekuwa yakilimwa sana katika maeneo ya Zanzibar na kuifanya biashara hii kuwa kubwa kwa wakulima na mazao hayo. 


















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.