Waajasiriamali wa biashara ya matunda aina ya
matikiti wakiwa katika eneo la michezani wakisubiri wateja wa matunda hayo,
tikiti moja linauzwa kati ya shilingi 1200/= na 3000/=, katika kipindi hichi matunda ya aina hii yamekuwa yakilimwa sana katika maeneo ya Zanzibar na kuifanya biashara hii kuwa kubwa kwa wakulima na mazao hayo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla Amefungua
Kongamano la Nne la ZRCP
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akizungumza
na washiriki wa Kongamano la Nne kuhusu uwekezaji kwenye rasilimali watu
kwa n...
7 minutes ago
No comments:
Post a Comment