Waajasiriamali wa biashara ya matunda aina ya
matikiti wakiwa katika eneo la michezani wakisubiri wateja wa matunda hayo,
tikiti moja linauzwa kati ya shilingi 1200/= na 3000/=, katika kipindi hichi matunda ya aina hii yamekuwa yakilimwa sana katika maeneo ya Zanzibar na kuifanya biashara hii kuwa kubwa kwa wakulima na mazao hayo.
Kimataifa : EU na UNHCR Wasaini makubaliano ya zaidi bilioni 9 kuimarisha
Ulinzi na msaada wa wakimbizi
-
Mwandishi Wetu , Dar Es Salaam.
Umoja wa Ulaya (EU) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi
Duniani (UNHCR) wamesaini makubaliano mapya ya u...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment