Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dulles tayari kwa Mkutano wa Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Amerika na Africa (US-Africa Leaders summit) uliondaliwa na Rais Barak Obama unaoanza Agosti 4-hadi 6, 2014, ambao utatanguliwa na mikutano mingine ya maendeleo ya sekta mbalimbali na uwekezaji (2-3 Agosti, 2014) jijini Washington DC. PICHA NA IKULU
WATANZANIA KEFA IGILO NA JERRYSON ONASAA WASHINDA TUZO ZA za FILAMU ZA
AMVCA NIGERIA
-
WATAYARISHAJI wa filamu kutoka Nchini Tanzania, Kefa Hussein Igilo na
Jerryson Onasaa, wameipeperusha vyema bendera ya taifa baada ya kushinda
tuzo kubwa k...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment