Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dulles tayari kwa Mkutano wa Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Amerika na Africa (US-Africa Leaders summit) uliondaliwa na Rais Barak Obama unaoanza Agosti 4-hadi 6, 2014, ambao utatanguliwa na mikutano mingine ya maendeleo ya sekta mbalimbali na uwekezaji (2-3 Agosti, 2014) jijini Washington DC. PICHA NA IKULU
WAZIRI SIMBACHAWENE AIPONGEZA TCAA KWA UTENDAJI BORA KATIKA MAONESHO YA
WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Mhe. George Simbachawene, ameipongeza Mamlaka ya Usafiri wa Anga
Tanzania...
11 minutes ago
No comments:
Post a Comment