Add caption |
MTAMBO unootumika katika kazi za uchapisha magazeti ya Yunnan Daily. (Picha na Othman Maulid)
MAOFISA Habari na Waandishi wa Habari kutoka Nchi 12 za Afrika zinazozungumza Kiingereza wakipata Maelezo ya uendeshaji wa Gazeti la Yunnan Daily linalochapishwa Mjini Yunnan China kutoka kwa Deputy Cheif in Editor Ndg. Zhu Yi, walipofika kutembelea na kupata historia ya gazeti hilo wakiwa katika ziara yao mjini Yunnan,(Picha na Othman Maulid)
MAOFISA Habari na Waandishi wa Habari kutoka Nchi za Afrika zinazozungumza Kiingereza wakiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Gazeti la Yannun nje ya jengo la Ofisi hiyo Mjini Yunnan China baada ya kutembelea Ofisi za Gazeti hilo.
No comments:
Post a Comment