Barabara ya ndani ya Unguja Ukuu kupitia katika mabonde ya mpunga cheju hagi jendele ikiwa katika hatua zake za mwazo kuwekwa kifusi kama inavyoonekana picha barabara hii tayari imeshawekwa kifusi cha awali na kupigwa gred, hili ni eneo la Unguja Ukuu inakoazia barabara hiyo.ikiwa tayari imeshatandazwa kifusi
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment