KAMANDA wa Polisi mkoa wa kusini Pemba Juma
Ali Yussuf akifungua mafunzo wa siku mbili kwa watendaji wa jeshi hilo wa mikoa
miwili ya Pemba yaliofanyika kituo cha huduma za sheria mjini Chakechake, kulia
ni Mratibu wa kituo hicho Fatma Hemed Khamis na kushoto ni afisa mipango wa
kituo hicho Safia Saleh Sultan (picha na
Haji Nassor, Pemba)
RAIS MWINYI: TUIOMBEE NCHI AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
-
Mgombea wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.
Hussein ...
36 minutes ago
No comments:
Post a Comment