KAMANDA wa Polisi mkoa wa kusini Pemba Juma
Ali Yussuf akifungua mafunzo wa siku mbili kwa watendaji wa jeshi hilo wa mikoa
miwili ya Pemba yaliofanyika kituo cha huduma za sheria mjini Chakechake, kulia
ni Mratibu wa kituo hicho Fatma Hemed Khamis na kushoto ni afisa mipango wa
kituo hicho Safia Saleh Sultan (picha na
Haji Nassor, Pemba)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefanya Uteuzi wa Wajumbe 8 Kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,
walioteuliw...
16 minutes ago


No comments:
Post a Comment