Jengo la Kisasa kwa ajili ya kushughulikia kesi za Udhalilishaji wa Wanawake kijinsia na Watoto, katika Mkoa wa Kaskazini Unguja hushughulikia kesi hizo zinazoripotiwa Polisi katika Kituo cha Polisi cha Mahonda na kufikishwa katika Dawati kwa uchunguzi na kufikishwa Mahakamani kwa kuchukuliwa Sheria kwa Wahalifu wa suala hilo.
PIC YATEMBELEA MAABARA ZA TBS, YAFURAHISHWA UTENDAJI KAZI WAKE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeipongeza
TBS kwa kazi nzuri yenye weledi hususani katika ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment