Ujumbe wa wadi za Makunduchi katika kuitangaza Zanzibar kiutalii uliwazawadia watu wa Sundsvall mlango ambao ulipokelewa na mama Spika ndani ya baraza la manispaa ya Sundsvall (Sundsvall Municipal Assembly). Mlango huo ulitolewa kama zawadi ya watu wa Makunduchi kwa watu wa Sundsvall. Kwenye picha ni ndugu Mohamed Muombwa, ndugu Hafifth bin Ameir na diwani Zawadi. Aliyeshika mlango ni Spika,
WADAU WAANZA KUVUTIWA NA MAKUMBUSHO YA JIOPAKI YA NGORONGORO LENGAI
-
Na Mwandishi wetu, Karatu Arusha.
Siku chache baada ya aliyekuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, kuzindua M...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment