Ujumbe wa wadi za Makunduchi katika kuitangaza Zanzibar kiutalii uliwazawadia watu wa Sundsvall mlango ambao ulipokelewa na mama Spika ndani ya baraza la manispaa ya Sundsvall (Sundsvall Municipal Assembly). Mlango huo ulitolewa kama zawadi ya watu wa Makunduchi kwa watu wa Sundsvall. Kwenye picha ni ndugu Mohamed Muombwa, ndugu Hafifth bin Ameir na diwani Zawadi. Aliyeshika mlango ni Spika,
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment