WANACHAMA wa chama cha wananchi CUF kisiwani
Pemba, wakimsikiliza Mwenyekiti wa chama hicho taifa Pro: Ibrahim Harouna
Lipumba, alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa hadhara, uliofanyika skuli ya
Jadida Wete Pemba (picha na Haji Nassor, Pemba)
MWENYEKITI wa chama cha wananchi CUF
taifa Pro: Ibrahim Harouna Lipumba, akikabidhi gari aina ya ‘Noah’ kwa uongozi
wa jimbo la Mtambwe, iliotolewa na mwakilishi wa jimbo hilo Salim Abdalla
Hamad, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika skuli ya Jadida Wete Pemba (picha
na Haji Nassor, Pemba)
NAIBU Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Mhe:
Nassor Ahmed Mazuri, akitoa salamu zake kwa wanachama wa chama cha wananchi CUF
kisiwani Pemba, kwenye mkutano wa hadhara wa chama hicho, uliohutubiwa na Mwenyekiti
wa chama hicho taifa Pro: Ibrahim Harouna Lipumba uliofanyika skuli ya Jadida
Wete Pemba (picha na Haji Nassor, Pemba)
WANACHAMA wa chama cha wananchi CUF kisiwani
Pemba, wakinua mikono yao juu, wakiashiria kutoiunga mkono katiba iliopendekezwa
ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanachama hao walikuwa kwenye mkutano wa
hadhara wa chama hicho, uliofanyika skuli ya Jadida Wete Pemba (picha
na Haji Nassor, Pemba)
KATIBU mkuu wa CUF Zanzibar Mhe: maalim
Seif Sharif Hamad, akitoa salamu kwa wanachama wa chama cha wananchi CUF
kisiwani Pemba, kwenye mkutano wa hadhara wa chama hicho, uliohutubiwa na
Mwenyekiti wa chama hicho taifa pro: Ibrahim Harouna Lipumba, uliofanyika skuli
ya Jadida Wete Pemba (picha na Haji Nassor, Pemba)
MAKAMU mwenyekiti wa CUF Mhe: Juma Duni
Haji akizungumza na wanachama wa chama hicho kisiwani Pemba, kwenye mkutano wa
hadhara, uliofanyika skuli ya Jadida Wete Pemba, na kuhutubiwa na mwenyekiti wa
chama hicho taifa pro: Ibrahim Harouna Lipumba (picha na Haji Nassor, Pemba)
MWENYEKITI wa CUF taifa pro: Ibrahim
Haroun Lipumba akiwahutubia wafuasi wa chama hicho kwenye mkutano wa hadhara
uliofanyika skuli ya Jadida Wete mkoa wa kaskazini Pemba (picha na Haji Nassor, Pemba)
No comments:
Post a Comment