MFUKO WA HIFADHI YA JAMII
ZANZIBAR
NOTISI YA
KUWASHITAKI WAAJIRI MBALIMBALI
Mfuko wa Hifadhi ya
Jamii Zanzibar (ZSSF) unatoa taarifa kwa umma kwamba utawachukulia hatua za
kisheria za kuwashitaki Mahakamani waajiri mbalimbali waliotajwa katika notisi
hii kwa kosa la kushindwa kuwasilisha michango ya wafanyakazi wao katika Mfuko
wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar kinyume na kifungu cha 17(1) (2) na (3) cha Sheria
ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar, Sheria Na.2 ya mwaka 2005 na kwa vipindi
tofauti. Waajiri ambao watafunguliwa mashtaka ni hawa wafuatao:-
1 1 RAMAYN
INTERNATIONAL SCHOOL – KWA MCHINA ZANZIBAR
2.
D.B
SHAPRIYA &CO.LTD – HANYEGWA MCHANA ZANZIBAR
3.
THE
FLOATING RESTAURANT – FORODHANI ZANZIBAR
4.
HOTEL
INTERNATIONAL – MCHAMBA WIMA ZANZIBAR
5.
FUMBA
BEACH LODGE – FUMBA ZANZIBAR
6.
MERCURY
RESTAURANT – MALINDI ZANZIBAR
7.
MOMBASA
CENTRAL – KIEMBE SAMAKI ZANZIBAR
8.
THE
NUNGWI INN- NUNGWI ZANZIBAR
9.
SUFA
PRIMARY AND SECONDARY SCHOOL- MAGOMENI MPENDAE
10.
HOTEL
EXECUTIVE COMPANY LTD- KILIMANI
11.
ALL
NATION ACADEMY – KISAUNI ZANZIBAR
12.
MWANANCHI
ENGINEERING AND CONTRACTING COMPANY LTD
13.
TATU
LTD- SHANGANI ZANZIBAR
14.
MALIK
FARAJ – AMANI ZANZIBAR
15.
BARZANGY
INC LTD- MIGOMBANI
16.
MASS
GLOBAL INVESTMENT LTD – MPIRANI ZANZIBAR
17.
SHU LTD
– FORODHANI ZANZIBAR
18.
RIALMA COMPANY
LTD- MICHAMVI ZANZIBAR
19.
ISLAND
SECURITY & GENERAL CLEANERS CO. LIMITED –KIEMBE SAMAKI ZANZIBAR
20.
SERENITY
DEVELOPMENTS LTD/AL JOHAR – SHANGANI ZANZIBAR
21.
TAALIM
COMPUTER CENTRE – MACHOMANE PEMBA
22.
IMARA
TOURES – CHAKE CHAKE PEMBA
23.
SWAHILI
DIVERS – MAKANGALE PEMBA
24.
VILA
DIDA – PWANI MCHANGANI ZANZIBAR
Hivyo basi, Uongozi
wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar unawataka wamiliki, waendeshaji au
wahusika wa taasisi hizi kulipa madeni ya michango ya wafanyakazi wao katika
Mfuko wa Hifadhi ya jamii Zanzibar si zaidi ya siku saba (7) kutoka tarehe ya notisi hii na kushindwa kufanya hivyo Mfuko
utawafungulia mashitaka dhidi yao.
IMETOLEWA
NA
MKURUGENZI
MWENDESHAJI
MFUKO
WA HIFADHI YA JAMII ZANZIBAR.
‘ZSSF INAJENGA MAISHA YAKO YA SASA NA YA BAADAE’
Hongera kwa hatua hiyo, lakini pia kuna taasisi nyingi hasa za binafsi zisizofuata taratibu sahihi za uajiri. Mahoteli mengi yanaajiri wafanyakazi bila ya hata mikataba na ukijaribu kusema ndo huna kibarua tena. Naomba na hili nalo lichukuliwe hatua.
ReplyDelete