Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na viongozi wengine wa CCM na wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa nyumbani alipozaliwa marehemu Issa Ahmed Othman Mshauri wa Rais Zanzibar katika masuala ya Utalii,aliyefariki nchini India alipoenda kwa matibabu,Katibu Mkuu alitoa salaam za pole kwa familia ya marehemu na ndugu zake kupokelewa na kaka wa marehemu Othman Ahmed Othman (katikati) na anayefuati ni Waziri Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe Mohammed Aboud Mohammed na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg Vuai Ali Vuai, walipofika nyumbani kwao Shenge Juu,Pemba.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na viongozi wengine wa CCM na wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa nyumbani alipozaliwa marehemu Issa AhmedOthman,Shenge Juu Pemba.
Taarifa iliyopita umesema kazaliwa pandani,wete.hapa unatuambia kazaliwa shenge juu.
ReplyDeleteBe serious na kazi ndugu
Hajakosea Pandani ni jimbo la shengejuu.
ReplyDeleteKuna jimbo linaitwa shengejuu?
ReplyDelete