RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakiwasilimia Viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) walipowasili katika ukumbi wa mkutano wa
Mlimani City Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kulifungua Kongamano la Wanawake
na Muungano lililofanyika leo 25-4-2024.
Mapato yasiyo ya kodi yafikia asilimia 67, OMH yadhamiria kufikia lengo la
mwaka
-
Serikali, kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), imeendelea kuonesha
mafanikio makubwa katika ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi, baada ya
kukusanya S...
19 minutes ago
No comments:
Post a Comment