RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakiwasilimia Viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) walipowasili katika ukumbi wa mkutano wa
Mlimani City Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kulifungua Kongamano la Wanawake
na Muungano lililofanyika leo 25-4-2024.
MDAU WA MAENDELEO TAIKO KULUNJU APONGEZWA KWA KUNUNUA MATENKI YA MAJI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
MDAU wa maendeleo wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Taiko Kulunju
Oletipa, amepongezwa kwa kitendo cha kununua matenki...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment