Habari za Punde

Operesheni ya kuhakiki abiria katika Meli bandari ya Mkoani


 
 
MJUMBE wa ZMA Kapteni Msilimiwa Iddi Juma, akitowa maelezo yake katika kikao cha Wajumbe wa ZMA na kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Mkoani, kabla ya kufanya operesheni ya kuhakiki abiria katika meli bandarini hapo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

WAJUMBE wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya usafiri baharini Zanzibar (ZMA), wakishirikiana na kamati ya ulinzi na usalama Wilaya ya Mkoani, wakihakiki idadi ya abiri katika operesheni maalumu waliyofanya katika bandari ya Mkoani kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.