Habari iliotufikia muda huu Mnadhimiu wa CCM Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Zanzibar Mhe Salmin Awadh, Salmin amefariki dunia hafla muda huu baada ya kuanguka akiwa katika kazi za Chama Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar.
Akiwa katika mkutano ofisini alianguka na kukimbizwa hospitali ya mnazi mmoja kwa matibabu.
Mwili wa marehemu uko katika hospitali ya Mnazi mmoja kwa uchunguzi zaidi
Innaa Lillaahi wainnaa ilayhi raajiu'uun
Innallillah wainna illahi rajiuun
ReplyDelete