Habari za Punde

Jumuiya ya Blue Health Yatoa Elimu ya Somo la Kensa

 Docta Aboubakar kutoka Blue Health Organisation,  akiwaeleza wanafunzi wa  masomo ya Sayansi wa Skuli za Sekondari walioshiriki semina ya  kutoa taaluma juu ya maradhi ya Kensa iliyofanyika Skuli ya sekondari Haillesselassie, Mjini Zanzibar.
Rais wa Blue Health Organisation Gora Faki Haji akiwaeleza wanafunzi wanaosoma masomo ya sayansi pamoja na walimu wao tatizo la maradhi ya Kensa Tanzania katika semina iliyofanyika Skuli ya Haillesselassie.
 Rais wa Blue Health Organisation Ndg. Gora Faki Haji akiwaeleza wanafunzi wanaosoma masomo ya sayansi pamoja na walimu wao tatizo la maradhi ya Kensa Tanzania katika semina iliyofanyika Skuli ya Haile selassie.
Baadhi ya viongozi wa Blue Health Organisation wakifuatilia kwa karibu watoa mada katika semina ya kutoa taaluma ya maradhi ya Kensa iliyofanyika Skuli ya Haillesselassie.
Viongozi wa Blue Health Organisation wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya walimu wa masomo ya Sayansi walioshiriki semina ya taaluma ya maradhi ya Kensa katika Skuli ys Sekondari Haillesselassie.(Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.