Habari za Punde

Taarifa kwa Waandishi wa Habari

Kwa niaba ya mjumbe wa kamati tendaji ZFA taifa Maalim Masoud Attai kutakua na mahojiano (Interview) kwa makocha wa vilabu vya KMKM, Al Hilal, Polisi na CF Mounana kama ifuatavyo:

Siku ya Ijumaa 27/2/2015 saa 5:00 asubuhi kocha wa KMKM na Al Hilal.

Siku ya Jumamosi 28/2/2015 saa 5:00 asubuhi kocha wa Polisi na CF Mounana

Mikutano hiyo itafanyika ukumbi wa VIP Amaan.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.