Habari za Punde

Mdau Anauliza huu Uwanja wa Ndege wa Pemba Unaitwaje ?

 Wahusika naomba wanisaidie kwa hili kwani naelewa uwanja huu unaitwa Karume Airport. Naomba kuelimishwa?


3 comments:

  1. Mie sina jibu ila naona huu uwanja ni Wa kutulia ndege au ni mabanda ya kufugia njiwa??

    ReplyDelete
  2. uwanja umeandikwa pemba airport jina lipo wazi kabisa kisha unatuuliza unaitwaje?

    mbona kama una ajenda ya siri hivi?

    ReplyDelete
  3. Unaitwa kipande cha ardhi cha kutulia videge

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.