Sehemu ya mbele ya Msikiti huo
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Awahutubia Wananchi wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Akiendelea na Mikutano yake ya Kampeni
-
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa
CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu
H...
1 hour ago
Jambo zuri kuujenga upya msikiti , lkn kuna design maalum za misikiti , huu unavyoonekana sasa ni kama nyumba tu ya ukaazi na sio kimsikiti . Lazma makandarasi watizamwe vizuri hizo design zao
ReplyDeleteMdau pengine pint yako ina maana sasa lakini naomba ungetusaidai kidogo, labda ulipaswa uwe na kitu gani zaidi au kitu kipi kingekaa wapi na mambo kama hayo ili hao Contractors wakaelewa zaidi hizo basic za misikiti, hata na mimi nimeona kama uivyoona wewe lakini nikasema labda pengine kutokana na ufinyu wa eneo, eneo tayari limo ndani ya mtaa uliosheheni majumba pande zote.
ReplyDelete