Sehemu ya mbele ya Msikiti huo
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
1 hour ago
Jambo zuri kuujenga upya msikiti , lkn kuna design maalum za misikiti , huu unavyoonekana sasa ni kama nyumba tu ya ukaazi na sio kimsikiti . Lazma makandarasi watizamwe vizuri hizo design zao
ReplyDeleteMdau pengine pint yako ina maana sasa lakini naomba ungetusaidai kidogo, labda ulipaswa uwe na kitu gani zaidi au kitu kipi kingekaa wapi na mambo kama hayo ili hao Contractors wakaelewa zaidi hizo basic za misikiti, hata na mimi nimeona kama uivyoona wewe lakini nikasema labda pengine kutokana na ufinyu wa eneo, eneo tayari limo ndani ya mtaa uliosheheni majumba pande zote.
ReplyDelete