Imekuwa ni jambo la kawaida kwa maderevya wa daladala kukiuka sheria ya usalama
barabarani kwa kuegesha daladala katika
eneo siyo salama kwa watumiaji wa barabara hiyo na kuleta usumbufu kwa wakati
wakiwa wameegesha, kama inavyoonekana daladala hizi zikiwa katika eneo la donge
zikiwa zimeegeshwa kinyume na utaratibu wa sheria za barabara
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment