Habari za Punde

Ukiukwaji wa Sheria za Barabarani

Imekuwa ni jambo la kawaida kwa maderevya wa daladala kukiuka sheria ya usalama barabarani kwa kuegesha  daladala katika eneo siyo salama kwa watumiaji wa barabara hiyo na kuleta usumbufu kwa wakati wakiwa wameegesha, kama inavyoonekana daladala hizi zikiwa katika eneo la donge zikiwa zimeegeshwa kinyume na utaratibu wa sheria za barabara

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.