Habari za Punde

Wabunge waliopo ziarani Marekani watembelea Ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa



Wabunge kutoka Tanzania walipotembelea afisi ya ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa iliyopo New York, Marekani wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa ubalozi, Balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa Mhe. Balozi Tuvako Manongi na Kiongozi wa Msafara wa Wabunge wa Kamati ya Mambo ya Nje Mhe. Injinia Hamad Masauni (katikati)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.