Wabunge kutoka Tanzania walipotembelea afisi ya ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa iliyopo New York, Marekani wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa ubalozi, Balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa Mhe. Balozi Tuvako Manongi na Kiongozi wa Msafara wa Wabunge wa Kamati ya Mambo ya Nje Mhe. Injinia Hamad Masauni (katikati)
Mariam Ibrahim aungana na wanawake wa Pwani kufanya usafi Jimbo la Kibaha
Vijijini
-
Mgombea Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, leo Septemba
18 ameungana na Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Pwani katika zoezi la kufagia
viwa...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment