Watalii wakiwasili katika bandari ya Zanzibar kwa Boti ya Kilimanjaro 3, ili kuaza safari zao za Kitalii katika Visiwa vya Zanzibar akifanya taratibu za Uhamiaji katika bandari ya Malindi baada ya kuwasili ili kutembelea sehemu mbalimbali za historia ya Zanzibar . Historia ya Zanzibar ni moja ya kivutio kwa wageni mbalimbali wanaotembelea katika kisiwahichi.
RAIS DKT. MWINYI AMUAPISHA MWANASHERIA MKUU WA ZANZIBAR
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amemuapisha Dkt. Mwinyi Talib Haji kuwa Mwanasheria Mkuu wa
Zanzibar.
...
2 hours ago

Mbona hatuoni mabadiliko, hayo matunda ya utalii anakula nani?
ReplyDelete