Watalii wakiwasili katika bandari ya Zanzibar kwa Boti ya Kilimanjaro 3, ili kuaza safari zao za Kitalii katika Visiwa vya Zanzibar akifanya taratibu za Uhamiaji katika bandari ya Malindi baada ya kuwasili ili kutembelea sehemu mbalimbali za historia ya Zanzibar . Historia ya Zanzibar ni moja ya kivutio kwa wageni mbalimbali wanaotembelea katika kisiwahichi.
TARURA KIGAMBONI YAANZA UJENZI WA BARABARA ZA LAMI KM 42 KUPITIA MRADI WA
DMDP II
-
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeanza kutekeleza ujenzi
wa barabara Km 42 kwa kiwango cha lami kupitia mradi wa Uendelezaji Jiji la
Da...
3 hours ago
Mbona hatuoni mabadiliko, hayo matunda ya utalii anakula nani?
ReplyDelete