Watalii wakiwasili katika bandari ya Zanzibar kwa Boti ya Kilimanjaro 3, ili kuaza safari zao za Kitalii katika Visiwa vya Zanzibar akifanya taratibu za Uhamiaji katika bandari ya Malindi baada ya kuwasili ili kutembelea sehemu mbalimbali za historia ya Zanzibar . Historia ya Zanzibar ni moja ya kivutio kwa wageni mbalimbali wanaotembelea katika kisiwahichi.
Jengo la makao makuu Benki ya CDRB lapewa cheti cha kimataifa cha kutunza
mazingira
-
Dar es Salaam. Tarehe 6 Mei 2024: Benki ya CRDB imeandika historia nyingine
kwa kupokea cheti cha kimataifa cha masuala ya mazingira baada ya jengo
lake ...
13 minutes ago
Mbona hatuoni mabadiliko, hayo matunda ya utalii anakula nani?
ReplyDelete