Habari za Punde

Wadau wa Tanzania Bloggers Network na Redio Clouds Fm watembelea Mfuko wa Pensheni wa PSPF

Meneja Masoko na Mawasiliano wa PSPF Bi Costantian M Martin, akitowa maelezo kwa Waandishi wa habari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania Bloggers NetworK na wa Redio Clouds Fm wakipofanya ziara kutembelea Mfuko huo kuona jinsi ya utendaji wake kwa Wanachama wake. Wakiwa katikac Ofisi za PSPF Golden Jubille Towers. 
Wanahabari wa Tanzania Bloggers Network  na wa Redio Clouds FM, wakitembela Mfuko wa Pensheni wa PSPF, kujionea ufanisi wa Mfoko huo katika kutowa huduma kwa Wanachama wake. Wakipata maelezo. 
Afisa Mtunza Kumbukumbu za Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Ndg. Linick Nkinda , akitowa maelezo kwa Wadauu wa habari jinsi ya utunzaji wa kumbukumbu za Wanachama wa Mfuko huo wa PSPF, wakati wa ziara yao katika jingo la Afisi Kuu ya PSPF Golden Jubille Towers mtaa wa Ohio Mjini Dar-es-Salaam.
 Afisi wa Kitengo cha Utunzaji wa Kumbukumbu za Wanachama wa PSPFakiwaonesha jinsi ya kulipata faili la mwanachama kupitia mtandao na kujua liko sehemu gani katika makabati maalum ya kisasa. Huchukua muda mfupi kupata taarifa za mwanachama.

Wafanyakazi wa kitengo cha utunzaji wa mafaili wakitia kumbukumbu za wanachama katika mtandaoo kwa kutunza kumbukumbu hizo.
 Afisa wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja wa PSPF Bi Khadija Mwema, akitowa maelezo kwa Wadauu wa habari wa Jumuiya ya Tanzania Bloggers Network na wa Redio Clouds FM walipofanya ziara ya kutembelea Afisi hizo katika jengo la Golden Jubille Towers  mtaa wa Ohio Dar-es-Salaam.
 Afisa wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja wa PSPF Bi Khadija Mwema, akitowa maelezo kwa Wadauu wa habari wa Jumuiya ya Tanzania Bloggers Network na wa Redio Clouds FM, mashine maalum (PSPF KIOSK)ya kutolea taarifa kwa Wateja Mfuko wa PSPF, wanapofika kupata taarifa ya mafao yao. Walipokuwa katika  ziara ya kutembelea Afisi hizo katika jengo la Golden Jubille Towers  mtaa wa Ohio Dar-es-Salaam.    
 Wadau wa Habari Tanzania wakiwa katika basi wakiwa katika ziara yao kutembelea miradi ya Mfuko wa PSPF,katika mtaa wa Samora mjini Dar-es-Salaam. Kujionea mradi mkubwa wa majengo mawili pacha yenye urefu wa gorofa 32.
 Wadau wa habari wakiwasili katika moja ya majengo ya mradi wa PSPF wa nyumba za kuishi na biaashara, lilioko katika barabara ya Samora.

 Wadau wakiwa katika jengo hilo tayari kwa kujionea hali halisi ya mradi huo mkubwa wa majengo mawili pacha
Eng. Novatus Odass wa PSPF, Services Supervisor)akitowa maelezo ya mradi huo wa ujenzi wa majengo pacha ya gorofa 32 yanayojengwa na mfuko huo ikiwa ni moja ya mradi wake mkubwa, majengo hayo yatakuwa kwa ajili ya makazi na ofisi za biashara. 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.