Habari za Punde

Madaktari Bingwa wa China Watowa Misaada kwa Skuli Baada ya kumaliza muda wao kutoa huduma Hospitali ya Abdalaa Mzee.

Kiongozi wa timu ya Madaktari wa Kichina ilioko katika Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Dk, YU,akitowa maelezo kwa niaba ya Madakatari wenzake kabla ya  kukabidhi  msaada wa Vitabu vya kusomea kwa  Skuli ya Ng'ombeni A.
DK, YU, Kiongozi wa Madaktari wa Kichina walioko katika Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, akikabidhi vitabu vya kusomea kwa Walimu wa skuli ya Ng,ombeni A


Afisa Elimu na Mafunzo ya Amali Wilaya ya Mkoani Pemba, Ndg.Seif Moh'd Seif,akitowa Shukrani kwa madaktari mabingwa kutoka Kichina huko Pemba,madaktari hao mbali na kutowa huduma za Afya pia wamekuwa wakisaidia

huduma mbali mbali za kijamii ikiwemo Elimu.(Picha na Shaib Kifaya -Pemba)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.