Mwonekano wa msikiti wa Kinyasini uliofunguliwa jana
Waziri wa katiba na Sheria mhe, Abubakar Khamis Bakary akiwa pamoja na wajumbe wa Bodi ya Muzdalifah siku ya ufunguzi wa msikiti wa kinyasini Pemba uliofanyika jana 19/06/2015
Baadhi ya wanafunzi wanaosoma Msikitini hapo wakisalimiana an Shaykh Ismail Asakheri
No comments:
Post a Comment