Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Hati za Utambulisho kwa Mabalozi watatu wanaowakilisha nchi zao Tanzania, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Uhispania Mhe. Paloma Serra Robles, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mteule wa Uhispania Mhe. Paloma Serra Robles mara baada ya kuwasilisha Hati yake ya Utambulisho, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mteule wa Uhispania Mhe. Paloma Serra Robles mara baada ya kuwasilisha Hati yake ya Utambulisho, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025.

Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria hapa nchini Mhe. Ghalib Zermane akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria hapa nchini Mhe. Ghalib Zermane Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria hapa nchini Mhe. Ghalib Zermane, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025. 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria hapa nchini Mhe. Ghalib Zermane, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Sudan hapa nchini Mhe. Mohamed Abdalla Abdelhameed Ahmed mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Sudan hapa nchini Mhe. Mohamed Abdalla Abdelhameed Ahmed Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Sudan hapa nchini Mhe. Mohamed Abdalla Abdelhameed Ahmed Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Agosti, 2025. 






No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.