Mwaliko wa Press Conference kesho
Mtia Nia wa nafasi ya Urais CCM,Balozi Amina Salum Ally kesho anatarajia kufanya Mkutano na Wanahabari.
Atafanya katika Ukumbi mdogo wa Hoteli ya Bwawani mjini Zanzibar saa 08:00 mapema asubuhi.
Kwa taarifa hii Waandishi mnaombwa kushiriki katika kazi hiyo ili kufanya majukumu yenu ya msingi.
IMETOLEWA NA MAELEZO ZANZIBAR 06/07/2015
No comments:
Post a Comment