Habari za Punde

Yanga wakijifua Gombani , Pemba kujiandaa na mechi ya mtani wa jadi Simba


WACHEZAJI watatu wa timu ya Yanga, Golkipa Mudathir Yahya, Salum Telela na Kelvin Yondani wakijitibu nje ya uwanja wa gombani na kushindwa jana kufanya mazoezi na wenzao.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

KOCHA Mkuu wa Timu ya Yanga Mholanzi Hans Van Der Pluijm, akiwasimamia wachezaji wake wakati walipokuwa wakifanya mazoezi ya Viungo, wakati walipowasili katika uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 KOCHA Mkuu wa Timu ya Yanga Mholanzi Hans Van Der Pluijm, akiwaongoza wachezaji wake kutoka uwanjani baada ya kumaliza kwa mazoezi yao jana jioni katika uwanja wa michezo Gombani kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
KOCHA Mkuu wa Timu ya Yanga Mholanzi Hans Van Der Pluijm, akiwa na wachezaji wake mara baada ya kumaliza mazoezi yao katika uwanja wa michezo gombani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.