MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Ole kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM)Mhe:Omar Mjaka Ali, katikaki akiwa na mgombea uwakilishi wa jimbo hilo wa kwanza kushoto Mhe;Mussa Ali Mussa, wakati wa kampeni wa jimbo hilo huko katika kijiji cha Mjini Ole.(Picha na Abdi Suleiman.PEMBA.)
MGOMBEA Uwakilishi wa jimbo la Ole kwa tiketi ya
CCM, Mhe:Mussa Ali Mussa akizungumza na wanaCCM wa Jimbo la Ole katika mkutano
wa kampeni za CCM huko katika kijiji cha Mjini Ole.(Picha na Abdi Suleiman.PEMBA.)
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Jimbo la Ole
wakicheza mziki baada ya kumalizika kwa kampeni za chama hicho katika kijiji
cha Mjini Ole.(Picha na Abdi
Suleiman.PEMBA.)
MGOMBEA Ubunge wa jimbo la Ole kwa tiketi ya CCM, Mhe:Omar Mjaka Ali, akizungumza na wanaCCM wa
jimbo hilo, katika kampeni za chama hicho huko katika kijiji cha Mjini Ole.(Picha na Abdi Suleiman.PEMBA.)
No comments:
Post a Comment